Hapo ndo nilipokuwa na CHOCHEA hasira zao zaidi mpaka Ulifika wakati baba na
mama walitaka kuniachia laana na hapo ndo nika kumbuka pia maneno ya sharon na
angnes baada ya kuwadanganya wazazi wangu zaidi ya miaka kumi toka nipate pesa
na kuwajengea nyumba.
Japo maneno ya kina agnes na sharon yalikuwa magumu kueleweka kwangu
kulikuwa na msingi kidogo kwa waliyosema na hawa ndo kidogo nilikuwa
naona kama wananiwazia mema ila sio kwa 100% sababu wote hawa walikuwa wanakaa
kwenye vikao vya kunisema pale ofisini Agnes alinambia kaka maisha ni safari ndefu ila usikate tamaa mie pia nilipitia
uko uko kwan wazazi wangu walikataa mtu niliye mpenda kwa dhati na nilikuwa
tayar kumvumilia kwa kila hali
lakini......chokochoko za ndugu zake na maisha
waliyoleta hapo ilikuwa bala Sauti ya sharon pia ikanijia boss wangu Pole ila
haya ni mapito tu ujakosea sana maana sisi wanawake tuna vimbwanga vingi sana
leo utaniona nmetulia kesho ukinipa nachotaka tu tena kwenye kiapo ndoa wewe
tena basi si unaona kila siku watu wanavyo lia umo majumbani ILA ANGALIA UZEE
UO UNAKUJA kakangu.
Nilizid kukosa amani zaid ya ilivyokuwa awali maana maneno ya #Mzee yalikuwa
tishio zaid
Na kilicho kuwa kina ni vuruga kabisaaaaaaaaaaaaa na kunitoa katika mstari wa
AMANI ni icho kisa cha jamaa yangu kadinko Baada ya kupata kizunguzungu kwa
kufikiria nini itakuwa hatma ya hili swala langu mawazo yali rudi upya tena
kwenye mkasa wa kadinko ambao huu pekee ndo ulikuwa tishio katika swala langu
la kutafuta, kupata na kukuamini #mwanamke yoyote kuwa mke wangu
Nakumbuka siku izo nili toka tu katika shughuli za ofisini na kwa bahati nzuri
nilikutana na evad kwa utani tu nikamuliza ivi hayo una andika yamekupata wewe
nini? Au kuna ndugu yako yasha mkutaaa?? akanambia hapana bhna haya maisha tu
yana mambo mengi na hayo ndo ya nafanya akili iende mbali ivo DAH ila kweli
sasa acha mie niende kwa jamaa angu Kandiko
