Jumatano, 11 Novemba 2015

SAFARI YA ISOKE

Watu wengi walio ni ona walinishangaa sana, kwani sikuwahi kuonekana na mwanamke yoyote katika ukarbu ule wa kuhisiwa kuwa nina #uhusiano au niliyeongozana naye katika maisha yangu nakumwita mchumba . Si kwamba nilikuwa na hitilafu yoyote mwilini japo mawazo ya wengne hasa wasichana na wanawake niliokuwa nafanya nao kazi pale ofisini yalinipa ofu baada ya kumsikia  msaidizi wangu wa kike(secretary) alipokuwa anateta na wenzake kuwa #jogooWanguHapandiMtungi kwa kipindi chote cha kazi sikuwahi kumuonyesha ishara yoyote ya kumtaka na kilicho ni kera zaid ni kusikia toka kwa wanaume waliokuwa chini yangu kuwa #mtotomimiSirdhki na wazazi wangu wamepata hasara.Hapana nilikuwa mwanaume rijali, na sikupenda kujihusisha na ngono,kwani magonjwa yamezagaa kama inzi kwenye mzoga.


Licha ya magonjwa, ni dhambi kubwa kuzini nje ya ndoa. Nilitambua kwamba jambo hilo halimfurahishi muumba hata kidogo.Siku zote nilikuwa nikijilaumu,ikafikia wakati nikitaka kuokota mwanamke hata baa,lakini nika kumbuka kisa cha jamaa mmoja anaitwa kadinko ila ye anapenda kujiita kado wakat yeye anatafuta mtu wa kuishi nae alipata tabu na kupitia kipind kigumu kama mimi, ila yeye alikuwa na haraka kidogo hali iliyo fanya akagombana mpaka na dadake violeth miez mitatu kabla ya ndoa  kufika na kwan dadake akukubaliana na swala la kuolewa kwa uyo bint ambae bwana Kandiko ali mchagua na kuona kuwa anafaa kwani hakutaka kabisa kusubr kwa kipind chote bila kuwa na uyo bint kama mwenzi wake.


kwani imani yake ili kuwa na msukumo kuwa tabia za wana ndoa ujengeka nakuwa safi baada ya kuwa pamoja akasahau kabisa sio tu maneno aliyo ambiwa na dadake bali ali sahau hata maneno ya #wahenga kuwa #MkemwenyetabianjemaniNgaokwamumewe Aliyakumbuka maneno haya baada ya mambo yake kumwendea mlama wiki moja kabla ya  #shereheyaHARUSI yake kufanyika Kilinitisha Sana kisa cha kuvunjika kwa harusi ya kadinko kabla hata sijaweka wazi juu ya mkasa uo kuna kosa ambalo wazazi wengi wana fanya na kwao uona ni vyema tu, Yaani binafsi yangu Nilihitaji kuwa na subira nikihisi pengine ningempata atakaye nipenda na mimi kupenda.

Umri wangu ulisogea kufikia miaka arobaini. Hali ambayo iliwaogopesha sana wazazi wangu,waliokuwa wazee wa kujikongoja.  Nilizaliwa mtoto pekee wa kiume na dada zangu watatu.Wazazi wangu walichoka na maneno yangu.“Bado umri wa kuona. Nitaoa Mungu akipenda,mke mwema hupewa na Mungu” Miaka yote huwa nilikuwa najitetea hivyo .
Hapo ndo nilipokuwa na CHOCHEA hasira zao zaidi mpaka Ulifika wakati baba na mama walitaka kuniachia laana na hapo ndo nika kumbuka pia maneno ya sharon na angnes baada ya kuwadanganya wazazi wangu zaidi ya miaka kumi toka nipate pesa na kuwajengea nyumba.

itaendele

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni